Love the song? Share and bookmark Baby Gal lyrics












Free Online Games Music Lyrics
|
|
|
|
|
mad ice - baby gal lyrics
|
|
|
|
|
| Browse Lyrics by Artist:
[0-9] [A] [B] [C] [D] [E] [F] [G] [H] [I] [J] [K] [L] [M] [N] [O] [P] [Q] [R] [S] [T] [U] [V] [W] [X] [Y] [Z] [New lyrics] [P.2] [P.3] [P.4] [P.5] [P.6] [P.7]
mad ice baby gal lyrics
Back to: Music Lyrics | MAD ICE lyrics
Artist: mad ice lyrics
Song: baby gal lyrics
Send "Baby Gal" Ringtone to your Cell 
(Chorus)
Kila kitu nachofanya unaona hakifai baby gal, mimi nifanyeje?
Nimefanya mambo mengi nikuridhishe wee lakini gal, You driving me crazy.
Nifanye kitu gani uelewe!
Nifanye jambo gani uridhike!
... Baby gal... (rough voc)
(Verse 1)
Nilihitaji unionyeshe mapenzi, Ooh ulinionyesha.
Sikuhitaji unifanyie upuuzi, Ooh ungenikondesha.
Nilikupa chochote ulichotaka, mradi nisione unahangaika.
Lakini bado ulinifanyia pupa, tamaa kichwani zilikuzunguka.
Nilihisi labda umenichoka, kumbe tamaa tu zinakuhangaisha.
Nionyeshe mapenzi na huba, hivyo vyote mpenzi vinapita x2
(Chorus x2)
(Verse 2)
Ulimtamani mwenye simu mkononi, Ooh nami nikanunua.
Ulimtamani mwenye dreads kichwani, Ooh kama nywele nikafuga.
Ulinifanya nisifiwe njiani, eti kwa kuwa mii najithamini.
Ila ukweli wangu upo moyoni, upendo wangu kwako niliuamini.
Kama gari, fedha, nyumba nilikupa.
Lakini bado penzi letu liliyumba.
Ulitamani vingine vilivyo bomba, Oh uwo uwo navyo ulipata.
(Chorus x2)
(Bridge)
Napenda kukuona ukifurahi lakini jua tamaa haifai.
Sasa nataka, unieleze unachotaka.
Sio unione, mimi kama takataka.
Kila nachofanya, kukiona kama taka.
Utani force. kamba yetu kuikata.
Wakati muda, bado haujawadia.
Baby gal baby gal, Hey iyeah iyeah.
(Chorus x2)
END!
Send "Baby Gal" Ringtone to your Cell 
More Baby Gal lyrics and numerous other Mad Ice lyrics @ Burbler.com
More Baby Gal lyrics and many other Mad Ice lyrics @ LyricsBay.com
Read Baby Gal lyrics @ ELyrics.net
Read Baby Gal lyrics @ SongLyrics.com
Rate These Song Lyrics:
|
Use the following form to post your meaning of this song, rate it, or submit comments about this song.
|
|
|
|
|